PICHA - SOMA ALICHO ANDIKA HAMMER Q KUMWAMBIA LIL GHETO DAH! NOMA SANA AISEEE


Nimepata data zako bob
Lakini Na amini kuwa MUNGU pekee ndie ana mamlaka ya kuamua lolote juu yangu na sio wewe Nitakupenda km binaadam mwenzangu hata km nimestuka kuna mabaya unayonitendea naamini hujui ulitendalo...! Nitaendelea kuishi kwa uhalisia
wa
maisha yangu na ilivyoumbwa roho yangu sitakulipiza baya lako kwa baya langu sababu Mimi kwa sasa nimekua sio mtu wa visasi na roho yangu ni nyeupe kabisa sitakutendea baya bali nitakuombea kwa mungu akubadilishe kutoka roho mbaya uliyonayo na akuongoze ktk njia sahihi
Jifundishe kuTii haja za moyo wako
si maneno ya watu...! Kawaida Yangu huridhika na nilichonacho kwa kuamini ndicho MUNGU alichonipa na kuna siku nitapata zaidi...! Na unavyonidharau nitazid kukuheshim na kujituma maana unanipa uchungu wa kutafuta mafanikio...! Huwa na Amini na mimi ni muhimu ktk jamii
ndio mana nimeumbwa...!nakushangaa sana unavokua mtu wa kujaribu kuniharibia rizki zangu kana kwamba umeziumba ww
Nasijui ingekuaje kama ungepewa funguo ya rizki
We Fanya unavofanya niharibie unavoniharibia mimi namuachia Mungu kisha Nikutakie ramadhan NJEMA
Na mungu akutilie wepes ktk kubadilika .ningekusema pembeni ningemkosea mungu lkn nimekuchana kweupe kuridhisha roho yang.

Share this:

Post a Comment

 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates