Nilipo timiza umri wa miaka 7 nilichukuliwa na Baba yangu
aitwae Mr. Othman Falii alini chukua na kwenda kuishi kongo, Nili soma huko
mpaka nilipo hitimu kidato cha 6 nikiwa na miaka 20 ukweli ni kwamba nili
msahau MAMA yangu na hata nikimuona simjui tena pia sijui kama yupo hai au
amekufa. Wakati namalizia kidato cha 6 kwa bahati mbaya BABA yangu alifariki
Dunia ukweli kifo cha BABA yangu kili nichanganya
Latest Updates
Showing posts with label hadithi. Show all posts
Showing posts with label hadithi. Show all posts
{1} MY NAME IS JEFF
STORY
BY JEFF A.K.A RAFIKI WA KWELI
AIMANI SALIM KHASIM ni msichana mwenye miaka 24 akiwa
anatoka masomoni akiwa ana degree ya sheria kwa ufupi AIMANI ankua mwana sheria
wakujitegemea ,AIMANI anaomba kibali cha kutembelea wafungwa katika gereza
kubwa hapa nchini bila kipingamizi AIMANI anafanikiwa kuupata kibali na kuanza
Subscribe to:
Posts
(
Atom
)

