Latest Updates

Showing posts with label hadithi. Show all posts
Showing posts with label hadithi. Show all posts

{2} MY NAME IS JEFF

5:21 AM
Nilipo timiza umri wa miaka 7 nilichukuliwa na Baba yangu aitwae Mr. Othman Falii alini chukua na kwenda kuishi kongo, Nili soma huko mpaka nilipo hitimu kidato cha 6 nikiwa na miaka 20 ukweli ni kwamba nili msahau MAMA yangu na hata nikimuona simjui tena pia sijui kama yupo hai au amekufa. Wakati namalizia kidato cha 6 kwa bahati mbaya BABA yangu alifariki Dunia ukweli kifo cha BABA yangu kili nichanganya

{1} MY NAME IS JEFF

5:07 AM


STORY  BY JEFF A.K.A RAFIKI WA KWELI

AIMANI SALIM KHASIM ni msichana mwenye miaka 24 akiwa anatoka masomoni akiwa ana degree ya sheria kwa ufupi AIMANI ankua mwana sheria wakujitegemea ,AIMANI anaomba kibali cha kutembelea wafungwa katika gereza kubwa hapa nchini bila kipingamizi AIMANI anafanikiwa kuupata kibali na kuanza
 
Copyright © CHIWILEINC. Designed by OddThemes | Distributed By Gooyaabi Templates